Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugoPlay06:14Get the SBS Audio appOther ways to listenApple PodcastsGoogle PodcastsSpotifyDownload (5.71MB) Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.Mh Wamboka pamoja na mwanasheria wake, wali weka wazi sababu za kumtaka Waziri Franklin Mithika Linturi afutwe kazi. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya Habari 12 Julai 2024Sanaa inayo sherehekea uhusiano wa watu wa Mataifa ya Kwanza na bahariTaarifa ya Habari 11 Julai 2024Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu"